Follow us

ZOEZI LA KUANDIKISHA WANANCHI KUPATA VITAMBULISHO VYA TAIFA LINAENDELEA KATIKA MIKOA YA MANYARA NA SINGIDA

Tangazo
Mkuu wa Kitengo cha Biashara Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa,Thomas William akizungumza na kipindi cha Hello Tanzania cha Uhuru FM,kuhusu zoezi la uandikishaji wananchi kwaajili ya vitambulisho vya Taifa katika Mikoa ya Manyara na Singida.

Post a Comment

0 Comments