Follow us

Taifa Stars yaanza kwa kuwaduwaza Uganda baada ya jambo hili walipofika

Tangazo


Unaambiwa Taifa Stars wamejipanga kweli kuhakikisha wanaondoka na alama kwenye mchezo kati yao na Uganda mchezo utakaofanyika jumamosi hii katika uwanja wa Mandela uliopo Namboole.
Mara baada ya kuwasili nchini Uganda katika uwanja wa Ndege wa Entembe Walitokea viongozi kutoka chama cha soka cha Uganda FUFA kwaajili ya Kuwapokea Taifa Stars na wakiwaambia kuna hoteli ambayo wamewaandalia
Lakini Taifa Stars kwa kutambua kuwa inaweza kuwa ni hujuma wakachomoa huduma za wageni wao na kwenda kwenye hoteli nyingine kabisa tofauti na waliyoandaliwa.

Post a Comment

0 Comments