Follow us

HII HAPA SABABU YUA MECHI YA YANGA VS MAMELODI KUONGELEWA SANA.

Tangazo

 



Kwanini Yanga Africa vs Mamelodi Sundown inaongelewa zaidi kuliko Simba vs Al Ahly?

Wanakutana kwa mara ya kwanza baada ya Miaka 23

Robo Fainali ya kwanza kwa Yanga Africa katika historia ya CAF champions league

Mamelodi Sundown Wana mvuto zaidi Africa kuliko team yyote

Post a Comment

0 Comments