Follow us

NIYONZIMA KAFUNGUKA: Ni kuhusu uhusiano wake na Jini Kabula,

Tangazo
Kabla ya Jini Kabula kuwa katika matatizo aliwahi kunukuliwa akisema aliwahi kuwa mapenzini na staa wa soka wa Simba SC, Haruna Niyonzima na kuzua mzozo kwenye mitandao ya kijamii kwa kuwa Niyonzima kwenye ndoa hivyo kumsababishia matatizo ndani ya familia yake.

Singida Blog na Laurentcomputercentre.com zimempata Haruna Niyonzima kwenye mazungumzo yake na kufunguka kila kitu akisema hakuwahi kuwa mapenzini na msichana huyo licha ya kwamba kuzungumza kwenye vyombo vya habari.


Aidha, kuhusu mkewe kulisikia hilo alisema haikuwa rahisi kuchukulia kawaida ingawa ni muelewa na alijaribu kuelewa jambo hilo.

Post a Comment

0 Comments