Mchambuzi maarufu wa
soka, Mwalimu Alex Kashasha amefariki dunia leo Agosti 19, 2021 akipatiwa
matibabu katika Hospitali ya Kairuki mkoani Dar es Salaam. Kashasha alikuwa
mtumishi wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC1) hadi umauti ulipomfika.
Post a Comment
0
Comments
JIUNGE NA CHUO CHA UFUNDI STADI LAURENT VTC SINGIDA.
0 Comments