Follow us

CCM yampata mrithi wa Lazaro Nyalandu

Tangazo

Baada ya mchakato mrefu wa kura za maoni katika majimbo matatu yaliyokuwa yameachwa wazi likiwemo jimbo la Singida Kaskazini lililokuwa linashikiliwa Mhe. Lazaro Nyalandu, Hatimaye Chama cha Mapinduzi tayari kimetangaza majina matatu ya wagombea watakaosimama kuwania Ubunge kwenye majimbo hayo.

Post a Comment

0 Comments