Shirika la Maji Safu na Maji Chafu Dar (DAWASCO) limetoa
taarifa kuhusu kutokea hitilafu katika mtambo wa kuzalisha maji wa Ruvu Chini
tangu usiku wa Agosti, 24 jambo lililosababisha baadhi ya maeneo ya jiji la Dar
kukosa huduma ya maji, taarifa zaidi isome hapa chini.
0 Comments