MAAJABU KUMI(10) YA SOKA USIYOYAJUA
2.Mwana sokaanakimbia kilomita zipatazo kumi (10) katika mchezo mmoja.
4.Mnamo
mwaka 1998 Radi iliua wachezaji wote kumi na moja (11) wa timu moja na kuacha
wachezaji wa timu pinzani wakati wa mchezo nchini DRC na kudhuru watazamaji
wapatao thelathini.
6.Washabiki
wa soka nchini Columbia waingia na jeneza uwanjani la mshabiki mwenzao
aliyeuawa kwa kupigwa risasi siku ya kuwania kuingia fainali akiwa na umri wa
miaka17. Washabiki hao waliingia nae siku ya fainali.
8.Katika
kombe la dunia mwaka 1950, timu ya Soka ya India ilitaka kucheza peku,
shirikisho la soka ulimwenguni (FIFA) likagoma. Timu hiyo ikasusia mashindano
hayo!
0 Comments