Follow us

DUBE ATOA MADAI MAZITO KWA VIONGOZI WA AZAM FC

Tangazo

 


DUBE ATOA MADAI MAZITO KWA VIONGOZI WA AZAM FC

Sakata lamshambuliaji Prince Dube limeingia sura mpya baada ya nyota huyo raia waZimbabwe kudai ndani ya klabu ya Azam viongozi wa klabu hiyo hufurahiamafanikio ya timu zingine badala ya timu yao!

“Nahitaji kuchezea timu ambayo wachezaji na viongozi wana lengo moja. Viongozi wako Azam, lakini mioyo yao iko kwenye timu zingine wanazozisapoti, hizo timu zikishinda wanafurahia.

“Hili nitatizo jingine unajua mara nyingine ni ngumu kusema vitu hivi lakini sasa tukokwenye hali ngumu natakiwa kusema sina chaguo.

“Siwezi kuwa kwenye timu ambayo wewe unataka kushinda kitu lakini watu ambao wanawaongoza wanasapoti timu mnayoshindana nayo, ndiyo maana nataka mabadiliko niwe sehemu ambayo watu wanaowaongoza mnafikiria kitu kimoja” – Prince Dube.

Post a Comment

0 Comments