Unaukumbuka mchezo wa robo fainali ile ya kipa shujaa wa
Afrika Kusini kàtika mikwaju ya penalti?
Ngoma itakuwa Nigeria dhidi ya Afrika Kusini halafu Ivory
Coast wwnyeji dhidi ya DR Congo.
Dr Congo kuna Henock Inonga, Fiston Mayele hawa wanaitambia
vema Ligi Kuu Tanzania Bara.
0 Comments