Shirikisho
la Mpira wa Miguu nchini Morocco limeshinda rufaa waliyokata dhidi ya Kocha wa
Timu ya Taifa ya Morocco Walid Regragu (48) aliyekuwa amefungiwa michezo minne.
Kutokana na
Uamuzi Shirikisho Barani Afrika kutengua adhabu hiyo, kocha huo atakuwa sehemu
ya benchi la ufundi litakalo iongoza Moirocco hatua ya 16 bora dhidi ya Afrika
Kusini Januari 30,2024.
Chanzo:@beinsports
0 Comments