Mabao ya Simba SC yamefungwa na Willy Onana
dakika ya 36’ na 38’ hadi mapumziko Simba
walienda wakiwa kifua mbele.
Kwa matokeo hayo Simba Sc wamefikisha jumla
ya na pointi tano na kupanda hadi nafasi
ya pili kwenye msimamo wa kundi ikisaliwa na michezo miwili dhidi ya ASEC
Mimosas ya Ivory Coast ugenini Februari 23,2024 na Jwaneng Galaxy ya Botswana
Machi 1,2024.
ASEC Mimosas akiwa anaongoza msimamo akiwa na Pointi saba atashuka uwanjani kucheza na Jwaneng Galaxy ya Botswana.
0 Comments