MOTO WA FEITOTO WAONGEZEKA, WAKATI AZAM IKIPETA.
Katika
mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Machi 3 2024 baada ya dakika 90 ubao
ulisoma Azam FC 4-1 Dodoma Jiji na Fei alitupia mabao mawili.
>>>KAULI YA FEI TOTO KUHUSU KASI YAKE ILIVYOONGEZEKA HII >>>>HAPA
Ushindi
huo unaifanya Azam FC kufikisha jumla ya pointi 43 kibindoni msimu wa 2023/24
sawa na vinara Yanga wakitofautiana idadi ya mabao ya kufunga na kufungwa.
Kiungohuyo anaongoza chati ya watupiaji kwa sasa akifuatiwa na Aziz KI wa Yangamwenye mabao 10.
0 Comments