Yanga yamtangaza kocha msaidizi
YANGA imemtangaza Mousa Ndao kuwa kocha msaidizi. Kocha huyo
atashirikiana na kocha mkuu Miguel Gamondi.
Yanga imetoa taarifa hiyo muda huu kupitia mitandao yao ya kijamii.
Yanga yamtangaza kocha msaidizi
YANGA imemtangaza Mousa Ndao kuwa kocha msaidizi. Kocha huyo
atashirikiana na kocha mkuu Miguel Gamondi.
Yanga imetoa taarifa hiyo muda huu kupitia mitandao yao ya kijamii.
0 Comments